UTAFITI (RESEARCH)



UTANGULIZI.
Sehemu hii inahuzsu usuli wa mada, ufafanuzi wa tatizo, madhumuni ya utafiti, umuhimu wa itafiti, malengo ya utafiti na mapitio ya utafiti.

USULI WA MADA.
Methali ni semi fupi fupi ambazo huwa na pande mbili ambapo upande mmoja huanzisha wazo na upande mwengine hukamilisa wazo. Mfano: Mtaka cha mvunguni sharti ainame. Methali kama utanzu mmoja wa fasihi simulizi una nafasi kubwa sana katika jamii kwani utanzu huu huonya, huelimisha, hukosoa pamoja na kubadilisha jamii.
Methali z imekuwa ni kipengele muhimu kutokana na kuundwa kwa maelezomafupi sana na yenye ujumbe mzito.huvyo jamii huweza kunufaika kutokana na urahisi wake katika kuzitumia.
Hata hivyo methali kwa upande mwengine huweza kupotosha ikiwa zitaaeleweka vibaya ka wanajamii husika.

MADA YA UTAFITI.
Mada ya utaiti huu ni athari za matumizi ya methali katika jamii

TATIZO LA UTAFITI
Wana jamii wengi wanatumia methali katika maisha yao ya kila siku lakini inaonekana huzitumia kinyume na methali hizo.kwa hiyo ipo haja ya kuzichunguza athari za matumizi mazuri na mabaya yamethali katika jamii .Ili kuweza wana jamii kuzitumia methali katika mazingira  yaliyo sahihi.

MALENGO YA UTAFITI
Kuchunguza athari za methali kwa watumiaji katika jamii

LENGO KUU
Kuonesha athari nzuri za methali kwa wanajamii.
Kuonesha athari mbaya za methali zitumiwazo na wanajamii

MASWALI YA UTAFITI
Ni athari gani zinazopatikana katika jamii kutokana namatumizi ya methali ?
Ni athari zipi mbaya zitakazojitokeza ikiwa methali zitatumika vibaya ?
Ni athari zipi nzuri zitakazopatikana katika jamii endapo methali zitaeleweka vizuri


UMUHIMU WA UTAITI
Utafiti huu utatoa mwanga kwa jamii juu ya athari za matumizimabaya ya methali katika jamii.vile vile utafiti huu uutachochea kuzuka kwa tafiti nyegine zenye kengo la kuhifadhina kuendeleza methali katika jamii. Na mwisho utafiti huuu utatumika kama marejeleo kwa watakaofanya utsiti

ENEO LA UTAFITI
Katika utafiti huu ttutachunguza athari za methali za Kiswahili tu ambazo pia ni zile zinazopatikana katka Kiswahili sanifu, kwa maana ya kwamba utaiti huuu haukugusa methali nyengine kama vile methali za kilahaja, mfano: Kimakunduchi n.k.

MAPITO YA MAANDIKO.

Sura hii ilihusu mambo yaliyoandikwa kna watafiti mbali mbali kuhusiana na mada hii.
Mapitio ya maandishi.
Miongoni wa vitabu na achapisho ambayo watafiti waliptia ni Ngole na Honero (1981), Mbughuni (1982), Bakhresa (1993), Karama S (1994), Mulokoz M.M (1996), Tuki (2004), Mbarouk, S.S (2005), Masebo, J.A na Nyangwine (2008), Wanjala, F.S (2011).
Ngole na Hanero (1981), wameeleza maana ya methali kuwa “ Ni aina ya usemi mzito ambao umekusudiwa kusema suala maalum, lakini kwa afumbo. Usemi huu mzito mara nyingi hukusudiwa kuonya, kuongoza na kuadilisha mwanadamu”. Kuktokana na maelezo  ya wataalaumu haawa nao pia wameonesha kwa uwazi kuwa methali huonya, huongoza na huadilisha.
Mbughuni (1993) amesema “maadili huwa ni lile funzo linalohusu maisha ya jamii na imani zake, misingi ya imani hiyo katika elimu, uchumi, siasa na utaaduni, tabia, mila na desturi, malengo, madhumuni na  mategemeo ys jsmiikuhusu hayo yote”.
Karama, S (1994) ameeleza maana yamethali  na  matumizi yake na akaendelea kusema matumizi yaliyotolewa ni fano tu ili kumfahamisha mtu lakini bila shaka ethali hiyo huweza kutumika kwa hali nyemngine.
Mulokoz, M.M (1996) aansema kuwa “methali ni usemi mfupi wa mapokeo unaodokeza kwa muhtasari fikra au mafunzo mazito yanayotokana na tajriba ya jamii ina yohusika”. Kwa mujibu wa m taalamu huyu ni dhahir  kwamba methali hutumika katika malezi jambo ambalo ni muhimu kwa jamiii.
TUKI (2004) “Methali ni mwenendo mwema, onyo au mafundisho yatolewayo kwa njia ya hadithi au ushairi na yenye kufundisha mambo mazuri” Maadili pia huweza kupatikana katika methali na hutumika katiika malezi.
Suleiman, A.S (2005) yeye amezigawa methali  katika makundi tofauti, zikiwemo methali zinazoonya, kuhimiza na kubadilisha. Pia ameeleza maana ya methali kuwa: “ Methali ni maneno mafupi ya hekima yenye kutoa ujumbe mzito kwa jamii.
Masebo, J.A na Nyangwine (2006) wamesisitiza kuwa “ Methali ni utanzu tegemezi  ambao kutokea kwake hutegemea fani zingine. Kwa mfano maongezi ya majadiliano mazito katika miktadha maalum ya kijamii./ baadhi ya methaliu huwa ni kielelezo au vofupisho vya hadithi Fulani ianyofahamika kwa wanajamii”
Wamitila, K.W (2007) wamaesma kuwa “Methali hutumika kuonya, kuelimisha na kukosoa:. Lakini hakutathmini matumizi ya methali katika kuonya, kuelimisha na kukosoa.
Haji, A na wenzake  (2007) wamechamb ua maudhui ya ,methali kwa kuonyesha ujumbe na mafunzo lakini hawakutathmini matumizi ya methali yanayoweza kutumika  katika malezi.
Masebo, J.A na Nyangwine, N (2008) wameeleza kuwa “ Methali ni semi  fupi fupi zenye kueleza kwa muhtasari, fikra au mafunzo mazito yanayotokana na uzoefu wa kijamii, mara nyingi mawazo hayo huelezwa kwa kutumia tamaathali hasa sitiari naa mafumbo.”
Wajal, F.S (2011) anasema “ Methali ni semi fupi fupi zinazosheheni fumbo juu ya ukweli juu ya maisha ya m wanaadamu na huwa na umbo maalum. Semi hizi aghlabu huwa za kimapokeo kutoka kizazi hadi kizazi kwa kawaida huwa na sehemu mbili, sehemu  ya kwanza huzua suala na sehemu ya pili hukamilisha suala hilo, pia huwa na lugha teule inayoteuliwa kwa ustadi mkubwa.”
www.gat.Kosoft.com/swa/methali.15/5/2015. nwameeleza kuwa “ Methali ni tungo mbili za kisanaa ambazo hutoa wasia-nasaha kwa lugha ya mafumbo. Pia wamezungumzia sufa za methali, methali huwa na  funzo, methali huwa na ukinzani.”
www.wikipedia.org/wiki/methali.155/2015. Methali ni usemi mfupi wa mapokeo unaodokeza kwa muhtasari fikra au mawazo mazito yanayotokana na uzoefu wa maisha ya jamii husika. Pia methali ni kauli fupi zenye pande mbili za fikra.
www.afriprov.org/indexphp/bibilioraphy/366-methalizakiutamaduni15 /5/2015. methali ni lugha nyepesi ipenyayo moja kwa moja katika nyoyo za wasikilizaji. Aidha methali ni njia ya mkato ya kuelimisha, kukosoa hususan vijana katika kuzingatia tunu za jadi kwa kina ndani ya mazingira ya asili ya jamii.
Kutokana na maelezo wataalamu mbali mbali waliozungumzia kuhusu methali za Kiswahili, inaonesha kuwa wapo waliozungumzia kuhusu nafasi ya methali, muundo wa methali na matumizi ya methali lakini hawakutathmini  matumizi ya methali za Kiswahili katika malezi na kuacha pengo kubwa la kutathmini matumizi ya methali, hivyo utafiti huu unakusudia kuziba pengo hilo.


MBINU ZA UTAFITI
Kipengele hiki kinazungumzia mbinu mbali mbali za utafiti ambazo zilitumika katika ukkusanyaji wa data, utaratibu wa utafiti, vifaa vya kukusanyia data, uchanganuzi wa data, kategoria ya waliohojiwa. Sababu za uteuzi wa kategoria ya waliohojiwa.

UKUSANYAJI WA DATA
Utafiti huu ulitumia njia tofauti tofauti ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Mbinu hizo ni maktabani na mahojiano.

MBINU YA MAKTABANI.
Mbinu hii ilhusisha usomaji wa machapisho mbali mbali vikiwemo vitabu na machapisho mengine ambayo watafiti walipata taarifa kulingana na mada yao ya utafiti. Mbinu hii ilichaguliwa kupata taarifa zaidi juu ya utafiti wao.

VIFAA VYA KUKUSANYIA DATA.
Utafiti huu ulitumia vifaa mbali mbali kama vile kalamu, karatasi, simu za mkononi, kompyuta na dodoso.



KATEGORIA YA WAHOJIWA.
Ni watu ambao walichaguliwa kushiriki katika utafiti. Katika utafiti huu wazee, walimu, wanafunzi na vijana walihusishwa ili kutoa taarifa kwa urahisi na kwa usahihi. Katika utafiti huu watafiti walitumia sampuli ya makundi kwa kuteua baadhi ya wazee, vyama, walimu na wanafunzi, wataiti walitumia sampuli hii kwasababu ndio iliyosaidia kupata data sahihi kulingana na utafiti wao.

SABABU YA KUTEULIWA KATEGORIA YA WAHOJIWA
Katika sampuli hii ukusanyaji wa data uliumuisha jinsia zote yaani wanawake na wanaume kama ifuatavyo:

















SAMPULI YA KATEGORIA YA WATAFITIWA/ WALIOHOJIWA


WATAFITIWA
WANAUME
WANAWAKE
ENEO
IDADI
ASILIMIA
WANAFUNZI
5
6
SKULI YA JANG’OMBE
13

WANAFUNZI
6
6
SKULI YA HAMAMNI
12


JUMLA




25

50%
WALIMU

2

6
SKULI YA JANG’OMBE

8

WALIMU
2
4
SKULI YA HAMAMNI
7


JUMLA




15

30%


WAZEE


4


6


KIPONDA


10


20%


JUMLA


20


30



50


100%







UCHANGANUZI WA DATA.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment